Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 09:22

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ametangaza rasmi nia yake ya kuwania urais 2024 kupitia chama cha Republican


Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ametangaza rasmi nia yake ya kuwania urais 2024 kupitia chama cha Republican
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Jitihada mpya za Trump zinaanza takriban miaka miwili baada ya kuwahimiza wafuasi wake kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020 ambao ulisababisha ghasia mbaya katika majengo ya bunge la Marekani hapo Januari 6, 2021

XS
SM
MD
LG