Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 23:28

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump atangaza kugombania urais uchaguzi wa 2024


Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump atangaza kugombania urais uchaguzi wa 2024
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wakati kura zikiwa hazijamalizika kuhesabiwa za uchaguzi wa bunge wa katikati ya muhula wa Marekani wa 2022, rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza nia ya kugombea urais kwa mara nyingine kupitia chama cha Republikan katika uchaguzi wa 2024.

XS
SM
MD
LG