Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 14:14

Tanzania, Kenya zazindua mfumo wa biashara ya kidijitali "ili kupunguza gharama"


Tanzania, Kenya zazindua mfumo wa biashara ya kidijitali "ili kupunguza gharama"
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wadau wa sekta za mawasiliano waTanzania na Kenya wamezindua mfumo wa kufanya Biashara Kwa njia ya kidigital unaolenga kuondoa usumbufu, urasimu,na gharama zisizo za lazima, ukisimamiwa na mashirika ya Posta ya nchi Tanzania na Kenya.

XS
SM
MD
LG