Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 11:43

WHO yatoa tahadhari kwa nchi jirani na Uganda baada ya Ebola kuripotiwa mjini Kampala


WHO yatoa tahadhari kwa nchi jirani na Uganda baada ya Ebola kuripotiwa mjini Kampala
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Shirika la Afya Duniani lilionya Jumatano kwamba kufika kwa Ebola katika mji mkuu wa Uganda kulionyesha hatari kubwa ya kuenea zaidi kwa virusi hivyo, likitoa wito kwa nchi jirani kuongeza utayari wao.

XS
SM
MD
LG