Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 22:57

Idadi ya watu nchini Tanzania yaongezeka kwa kasi, yafikia milioni 61.7


Idadi ya watu nchini Tanzania yaongezeka kwa kasi, yafikia milioni 61.7
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Idadi ya watu nchini Tanzania iliongezeka kwa zaidi ya asilimia 37 katika muongo mmoja hadi milioni 61.7, Rais Samia Suluhu Hassan amesema na kuonya juu ya changamoto zinazoletwa na ongezeko kama hilo.

XS
SM
MD
LG