Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:11

Serikali ya Ufaransa imeonya itatumia nguvu za umiliki kumaliza mgomo wa wafanyakazi


Serikali ya Ufaransa imeonya itatumia nguvu za umiliki kumaliza mgomo wa wafanyakazi
please wait

No media source currently available

0:00 0:07:18 0:00

Serikali ya Ufaransa imewaonya wafanyakazi wa mafuta wanaogoma kwamba huenda ikatumia nguvu zake za umiliki kuwalazimisha wafanyakazi hao waliogoma kurudi kazini ili kukabiliana na uhaba wa mafuta.

XS
SM
MD
LG