Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:16

Serikali ya Tshisekedi yazindua program za maendeleo katika wilaya 145


Serikali ya Tshisekedi yazindua program za maendeleo katika wilaya 145
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:53 0:00

Serikali ya Rais Felix Tshisekedi imezindua program maalumu kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika wilaya 145 katika mikoa mbalimbali kwa kukuza shughuli za maendeleo.

XS
SM
MD
LG