Wanawake washiriki katika miradi ya Sayansi, Teknolojia
Wasichana mbali mbali hivi sasa nchini Kenya, wanajishughulisha na miradi ya sayansi na teknolojia kama njia ya kutatua changamoto mbali mbali katika jamii. Mradi maarufu wa Tech Women ambao ulianzishwa na serikali ya Marekani kusaidia wanawake barani Afrika, Asia na Mashariki ya kati umepokelewa vyema nchini Kenya na hivi sasa unaonekana kuwa unazaa matunda. Wasichana mbali mbali waliojiunga na mradi huo tayari wameanza kushirikiana katika kubaini na kutatua matatizo yanayokumba maeneo yao na kuanza kuyatatua kwa kutumia elimu ya sayansi. Mwandishi Salma Mohammed anaripoti zaidi kutoka Mombasa
Matukio
-
Januari 02, 2021
Hali ya wanawake DRC kipindi cha COVID-19 2020
-
Januari 02, 2021
Hali ya wanawake Kenya kipindi cha COVID-19 2020
-
Januari 02, 2021
Hali ya wanawake Misri kipindi cha COVID-19 2020
-
Desemba 17, 2020
Kenya yawapa jamii ya Washona uraia
-
Desemba 07, 2020
Absalom Kibanda apongeza uwamuzi wa ACT kujiunga na serikali
-
Desemba 07, 2020
Jussa atetea uwamuzi wa ACT-Wazalendo kuijunga na serikali Zanzibar