Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 17:32

Zaidi ya watu 12 wameuawa kwenye kijiji cha masome nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)


Zaidi ya watu 12 wameuawa kwenye kijiji cha masome nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Hali ya ukosefu wa usalama mashariki mwa DRC inazidi kuzorota ambapo zaidi ya watu 12 wameuawa huko Masome eneo linalopakana na mji wa Komanda pamoja na mkoa wa Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC)

XS
SM
MD
LG