Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:31

Ripoti ya IMF kuhusu uchumi wa dunia na watu mashuhuri kuondolewa mashitaka ya ufisadi nchini Kenya


Ripoti ya IMF kuhusu uchumi wa dunia na watu mashuhuri kuondolewa mashitaka ya ufisadi nchini Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Ripoti ya IMF ya mapema wiki hii imesema uchumi wa dunia utadorora mwaka huu na kuwa mbaya zaidi mwakani. Mchambuzi wa masuala ya uchumi ashauri serikali za Afrika mashariki kuchukua hatua mapema kukabiliana na athari za kudorora kwa uchumi wa dunia.

XS
SM
MD
LG