Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:08

Afisa wa zamani wa polisi huko Thailand ameshambulia kituo cha kulelea watoto na kuuwa watu takribani 30 wakiwemo watoto 23


Afisa wa zamani wa polisi huko Thailand ameshambulia kituo cha kulelea watoto na kuuwa watu takribani 30 wakiwemo watoto 23
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Maafisa wa Thailand wanasema mshambuliaji huyo pia alirejea nyumbani ambako pia alimuua mkewe na mtoto wake kabla ya kujiua. Afisa huyo alifukuzwa kazi mwaka 2021 kutokana na matumizi ya dawa za kulevya

XS
SM
MD
LG