Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 13:19

Tanzania: Rais Samia awataka mawaziri wapya aliowateua kuzingatia majukumu yao ipasavyo


Tanzania: Rais Samia awataka mawaziri wapya aliowateua kuzingatia majukumu yao ipasavyo
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka mawaziri ambao anawateua kutekeleza majukumu yao ipasavyo wakizingatia mambo makubwa matatu ambayo ni kuheshimu katiba ya nchi, kufahamu mipaka yao nakutunza siri za Serikali.

XS
SM
MD
LG