Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:21

Mahakama ya juu ya Kenya yahalalisha ushindi wa Ruto


Mahakama ya juu ya Kenya yahalalisha ushindi wa Ruto
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mahakama ya juu nchini Kenya imekubaliana na maamuzi ya tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kuwa ushindi wa William Ruto katika uchaguzi wa rais hapo Agosti 9 ulikuwa halali, na kumaliza wiki kadhaa za hali kutokuwa na uhakika wa kisiasa.

XS
SM
MD
LG