Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:33

Marekani yasema itaendelea kuacha milango ya kidiplomasia na China wazi.


Marekani yasema itaendelea kuacha milango ya kidiplomasia na China wazi.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani wakati akizungumza na balozi wa China mjini Washington alisema kwamba licha ya mataifa yote mawili kutofautiana kwenye mambo kadhaa kama vile suala la Taiwan, nafasi za kidimplomasia zitabaki kuwa wazi.

XS
SM
MD
LG