Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:25

Kenya waendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi.


Kenya waendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) inatarajiwa kutangaza matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais Agosti 15,2022. Hii ni baada ya tume ihiyo kukamilisha shughuli ya uidhinishaji .Mwenyekiti Wafula Chebukati anasubiriwa kwa tangazo kubwa katika kituo cha kuhesabu kura, Bomas of Kenya.

XS
SM
MD
LG