Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:48

Moto wazuka kanisani Misri na kusababisha vifo vya watu 41


Moto wazuka kanisani Misri na kusababisha vifo vya watu 41
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Maafisa wa Misri wamesema takriban watu 41 waliuawa na 14 kujeruhiwa Jumapili wakati moto ulipozuka ndani ya kanisa moja mjini Giza. Waumini 5,000 walikuwa ndani ya kanisa la Coptic Abu Sifin, katika mtaa wa Imbaba wakati moto huo ulipoanza.

XS
SM
MD
LG