Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Desemba 05, 2023 Local time: 18:24

Malawi: Wauguzi hawaruhusiwi kwenda kufanya kazi Marekani na Saudia


Malawi: Wauguzi hawaruhusiwi kwenda kufanya kazi Marekani na Saudia
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Chama cha wauguzi nchini Malawi kimemsihi Rais Lazarus Chakwera kuwaruhusu wauguzi 2,000 kwenda kufanya kazi Marekani na Saudi Arabia, baada ya serikali yake kuamuru mpango huo usitishwe.

XS
SM
MD
LG