Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:05

Marekani yamuua kiongozi wa Al Qaeda


Marekani yamuua kiongozi wa Al Qaeda
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais Joe Biden Jumatatu amethibitisha kwamba Marekani imemuua kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Ayman al-Zawahiri, katika operesheni ya maafisa wake wa kijasusi, iliyofanyika nchini Afghanistan.

XS
SM
MD
LG