Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 08:50

Mwana Mfalme Mohammed bin Salman (MBS) amekutana rasmi na viongozi wa Misri, Jordan na Uturuki ili kuimarisha mahusiano ya usalama ulioyumba


Mwana Mfalme Mohammed bin Salman (MBS) amekutana rasmi na viongozi wa Misri, Jordan na Uturuki ili kuimarisha mahusiano ya usalama ulioyumba
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wachambuzi wanasema hii inaashiria pia azma ya MBS kutambuliwa katika jukwaa la ulimwengu na kumaliza miaka kadhaa ya kutengwa kimataifa kufuatia mauaji ya mwaka 2018 ya mkosoaji wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mjini Istanbul, ambapo mkuu huyo amekanusha kuhusika binafsi

XS
SM
MD
LG