Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 08:32

Kongamano la Waislamu wa Marekani na Canada ICNA lafunguliwa Baltimore

Zaidi ya watu elfu 22 wahudhuria kongamano kubwa kabisa la waslamu wa Marekani na Canada, linalofanyika kila mwaka na kusimamiwa na taasisi ya ICNA

Taasisi ya Waislamu wa Amerika ya Ksakazini ICNA imeanda kongamano lake la kila mwaka mjini Baltimore, Maryland, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu ya janga la COVID, Mkusanyiko huo ambao ndio mkubwa kabisa wa waislamu hapa marekani unahudhuriwa na zaidi ya wajumbe elfu 20 kulingana na watayarishaji wake. Kongamano hilo linawaleta pamoja wasomi wafanaya bishara waatalamu wa masuala mbali mabli pamoja na vijana, kujadili masuala yanaohusiana na maisha ya waislamu na changamoto zilizopo.


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG