Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 23:25

Kenya: IEBC yasema haitawazuia watuhumiwa wa ufisadi kugombea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti


 Kenya: IEBC yasema haitawazuia watuhumiwa wa ufisadi kugombea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya IEBC, imesema kwamba haitawazuia watuhumiwa wa kashfa za ufisadi kugombea nafasi mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti. IEBC inaeleza kuwa ni lazima mahakama iwakute washukiwa na hatia.

XS
SM
MD
LG