Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 09:37

William Ruto amteua Rigathi Gachagua kama mgombea mwenza kwenye uchaguzi wa rais


William Ruto amteua Rigathi Gachagua kama mgombea mwenza kwenye uchaguzi wa rais
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Makamu rais wa Kenya William Ruto Jumapili alimteua Rigathi Gachagua kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi wa rais utakaofanyika mapema mwezi Agosti mwaka huu. Gachagua ni kutoka kabila la Kikuyu.

XS
SM
MD
LG