Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 10:09

Polisi wa Somalia anasema watu saba walijeruhiwa Jumatano katika shambulizi la kujitoa mhanga


Polisi wa Somalia anasema watu saba walijeruhiwa Jumatano katika shambulizi la kujitoa mhanga
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Msemaji wa polisi nchini Somalia Abdifatah Adan Hassan aliwaambia waandishi wa habari mlipuko wa kujitoa mhanga karibu na uwanja wa ndege wa Mogadishu ambalo ni eneo la uchaguzi wa Rais siku ya Jumapili umejeruhi watu saba

XS
SM
MD
LG