Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 20, 2026 Local time: 19:04

Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini kinaonya Afrika kujianda kwa ajili ya athari za vita vya Ukraine


Chama kikuu cha upinzani Afrika  Kusini kinaonya Afrika kujianda kwa ajili ya athari za vita vya Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini amewaonya Waafrika kujianda kukabiliana na athari za uvamizi wa Russia nchini Ukraine. Mwenyekiti huyo wa chama cha Democratic Alliance John Steenhuisen alikamilisha ziara ya siku 6 ya kutathmini hali ilivyo nchini Ukraine jana Alhamisi.

XS
SM
MD
LG