Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:52

Eritrea yaorodheshwa kama yenye rekodi mbaya zaidi ya uhuru wa habari Afrika


Eritrea yaorodheshwa kama yenye rekodi mbaya zaidi ya uhuru wa habari Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Dunia inaadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari huku nchi nyingi za Afrika Mashariki zikitajwa katika ripoti ya Shirika la Waandishi wasio na Mipaka kama zilizoimarisha rekodi yake ikilinganishwa na mwaka jana.

XS
SM
MD
LG