Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:42

April 25 ni siku ya Malaria Duniani ambapo WHO inapendekeza ongezeko la matumizi ya chanjo ya kwanza ya malaria barani Afrika


April 25 ni siku ya Malaria Duniani ambapo WHO inapendekeza ongezeko la matumizi ya chanjo ya kwanza ya malaria barani Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Malaria ni ugonjwa unaozuilika na unaotibika. Hata hivyo kila mwaka malaria huwakumba zaidi ya watu milioni 200 na kuua zaidi ya 600,000. Vifo vingi kati ya hivi karibu nusu milioni miongoni mwao ni watoto wadogo katika bara la Afrika

XS
SM
MD
LG