Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 23:33

JWTZ chini ya MONUSCO yaahidi kuwadhibiti waasi DRC


JWTZ chini ya MONUSCO yaahidi kuwadhibiti waasi DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:02 0:00

Wanajeshi wa Tanzania wanaoshika doria nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, chini ya Kikosi cha Umoja wa Mataifa MONUSCO, wamesema kwamba watafanya kila wawezalo kukomesha mashambulizi ya makundi ya waasi.

XS
SM
MD
LG