Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 23:14

Mchakato wa BBI haukufuata kanuni za katiba, mahakama ya juu Kenya yaamua


Mchakato wa BBI haukufuata kanuni za katiba, mahakama ya juu Kenya yaamua
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:56 0:00

Mahakama ya juu nchini Kenya imetupilia mbali rufaa iliyokuwa imewasilishwa na serikali kuhusu marekebisho ya katiba maarufu kama BBI, ambao ndio uamuzi wa mwisho kuhusu mchakato huo.

XS
SM
MD
LG