Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Oktoba 01, 2023 Local time: 15:22

Walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa wafariki katika ajali ya ndege mashariki mwa DRC.


Walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa wafariki katika ajali ya ndege mashariki mwa DRC.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Msemaji wa Umoja wa mataifa amesema Jumanne kwamba hakuna aliyenusurika wakati helikopta ya tume ya Umoja wa mataifa nchini DRC (MONUSCO) ilipofanya ajali mashariki mwa nchi hiyo ikiwa na walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa.

XS
SM
MD
LG