Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 16:49

Yaliyojadiliwa kwenye mkutano wa dharura wa G7 mjini Brussels, Ubelgiji


Yaliyojadiliwa kwenye mkutano wa dharura wa G7 mjini Brussels, Ubelgiji
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy Alhamisi alihutubia muungano wa NATO na kuomba msaada zaidi wa kijeshi ili aweze kupambana vilivyo na wanajeshi wa Russia, huku viongozi wa muungano huo wa kijeshi, akiwemo kiongozi wa Marekani Joe Biden, wakikutana mjini Brussels, Ubelgiji.

XS
SM
MD
LG