Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 10:51

Rais wa Afrika Kusini aambukizwa COVID-19


Rais wa Afrika Kusini aambukizwa COVID-19
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:36 0:00

Rais wa Afrika kusini, Cyril Ramaphosa mwenye umri wa miaka 69 alipimwa na kugundulika ana COVID-19 siku ya Jumapili ingawa anaonyesha dalili ndogo tu za ugonjwa huo ofisi ya rais ilisema.

XS
SM
MD
LG