Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 03:58

Faraja kwa familia za wahanga wa ajali ya ndege Boeing 737 Max


Faraja kwa familia za wahanga wa ajali ya ndege Boeing 737 Max
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:42 0:00

Kampuni ya Boeing imefikia makubaliano na familia za waathirika wa ajali ya ndege 737 MAX iliyoanguka na kuua watu 157 waliokuwemo ndani ya ndege huko Ethiopia na imekubali kuwajibika na ajali hiyo.

XS
SM
MD
LG