Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:43

Jeshi la anga la Ethiopia lashambulia tena Tigray


Jeshi la anga la Ethiopia lashambulia tena Tigray
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:07 0:00

Ethiopia imefanya mashambulizi ya pili ya anga wiki hii katika mji mkuu kwenye mkoa wa Tigray. Shambulizi hilo la Jumatano linaendeleza kampeni ya kupunguza nguvu vikosi vya Tigray katika vita vilivyodumu kwa takriban mwaka mmoja.

XS
SM
MD
LG