Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 16:35

Nchi za G20 zatakiwa kutekeleza ahadi zao


Nchi za G20 zatakiwa kutekeleza ahadi zao
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:43 0:00

Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi ametoa wito Alhamisi kwa mataifa 20 tajiri duniani G20, kutekeleza ahadi zao za kupunguza kuongezeka kwa joto duniani kwa nyuzi joto 1.5 Celsius wakati wa mkutano wa viongozi wa kundi hilo mwezi ujao.

XS
SM
MD
LG