Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 22:13

Macron asema kuuawa kiongozi wa IS Sahara ushindi mkubwa


Macron asema kuuawa kiongozi wa IS Sahara ushindi mkubwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:36 0:00

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameandika katika mtandao wa Twitter na kuelezea kifo cha kiongozi wa Islamic State Adnan Abu Walid al-Sahrawi kama mafanikio makubwa katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi kwenye eneo la Sahel.

XS
SM
MD
LG