Siku ya Jumamosi Septemba 11, 2021, Wamarekani kwa mara nyingine wanawaenzi wahanga 2,977 wa mashambulizi ya Septemba 11, 2001, na familia zao, na wale pia waliojeruhiwa na waokoaji.
Kumbukumbu ya shambulizi la Septemba 11
Kumbukumbu hiyo ilifunguliwa katika eneo la maghorofa pacha ya World Trade Center. Makumbusho hayo yamejengwa katika eneo la moja ya maghorofa hayo na kufunguliwa Septemba 11, 2011, ili umma uweze kutembelea . Inawaenzi wale wahanga wote wa shambulizi la Septemba 11, 2001.
9
Ghorofa la One World Trade Center "Freedo Tower" likionekana kuwa refu zaidi katika anga za mji wa Manhattan, New York, Juni 10, 2021.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017