Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 05:25

Matukio muhimu Jumapili Agosti 29, 2021

Rais Joe Biden ahudhuria ibada ya kupokea miili ya wanajeshi wa Marekani walouliwa Kabul, Afghanistan, huku kimbunga kikali cha Ida cha wasili nchi kavu kusini mwa Marekani.

Rais Joe Biden pamoja na mkewe na baadhi ya wajumbe wa serikali yake na wakuu wa jeshi walihudhuria ibada ya kupokea wanajeshi 13 wa Marekani walouliwa mjini Kabul Afghanaistan kufuatia shambulio la kigaidi.

Wamarekani wa jimbo la kusini la Louisiana wajitayarisha kwa kimbunga kikubwa kuwahi kutokea tangu kimbunga cha Katrina kilichotokea miaka 16 na kusababisha vifo vya karibu watu 1 800.

Makundi

XS
SM
MD
LG