Kwa wagonjwa wengi kwenye hospitali ya rufaa katika mji mkuu wa Mekele, huu ndio mwisho wa safari ndefu na ngumu.
Wameliambia Shirika la Habari la Associated Press jinsi wanajeshi wa Ethiopia na Eriteria walivyoiba chakula chao na kuteketeza mashamba yao.
Huku hospitali za karibu zikiwa zimeibiwa vifaa au kuharibiwa, hawana sehemu nyingine ya kwenda. Na madaktari wanasema kuwa hili ni sehemu ya tatizo kubwa zaidi.
Wameliambia Shirika la Habari la Associated Press jinsi wanajeshi wa Ethiopia na Eriteria walivyoiba chakula chao na kuteketeza mashamba yao.
Huku hospitali za karibu zikiwa zimeibiwa vifaa au kuharibiwa, hawana sehemu nyingine ya kwenda. Na madaktari wanasema kuwa hili ni sehemu ya tatizo kubwa zaidi.