Wananchi wa Kirumba, Ghana, Kiloleli, Nyasaka, Buzuluga, Mabatini, Mwanza mjini, Igogo, Mkuyuni, Nyegezi, Mkolani, Buhongwa na Usagara wakiwa wamesimama barabarani kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya tano Hayati Magufuli wakati akipitishwa katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Mwanza mara baada ya kuagwa katika uwanja wa CCM Kirumba, Jumatano, Machi 24, 2021.
Picha kwa hisani ya Global Publishers TV na Ofisi ya Rais, Tanzania.
Picha kwa hisani ya Global Publishers TV na Ofisi ya Rais, Tanzania.