Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 14:09

Maisha ya kisiasa ya Maalim Seif Shariff Hamad kiongozi wa upinzani Zanzibar

Maalim Seif Shariff Hamad kiongozi wa upinzani wa Zanzibar kwa karibu miongo mitatu, afariki akiwa na umri wa miaka 77 baada ya kuugua ugonjwa wa Covid-19.

Seif Sharif ni mmoja kati ya viongozi wachache wa Afrika waloishi maisha ya kawaida bila ya kupenda makubwa. Ni kiongozi aliyependwa sana na wananchi kwa ustahmilivu wake na kutaka umoja wa wa-Zanzibari. Na anakua pia kiongozi wa upinzani aliyegombania kiti cha rais kwa miaka mingi bila ya kushinda.

Makundi

XS
SM
MD
LG