Upinzani umepinga matokeo yaliyo tangazwa Januari 16 ukidai wizi mkubwa umefanyika. Kulingana na Tume ya Uchaguzi Museveni amepata asilimia 58.6 za kura huku mpinzani wake mkuu Bob Wine akiwa amepata asilimia 34.8.
Waganda wengi washeherekea ushindi wa Rais Museveni
- Abdushakur Aboud
Baadhi ya wananchi wa Uganda wakisheherekea ushindi wa Rais Yoweri Museveni kufuatia Uchaguzi Mkuu unaomweka madarakani kwa muhula wa sita, huku upinzani ukipinga matokeo.
9
Wafuasi wa Museveni washerehekea ushindi wa uchaguzi kwenye njia za Kampala
10
Mtaa wa Magere ukiwa hakuna mtu karibu na makazi ya Bobi Wine.
11
Joseph Kazibwe asikiliza redio yake matangazo ya matokeo ya mwisho ya uchaguzi
12
Wafuasi wa Rais Museveni washerehekea katika mitaa ya Kampala Januari 16
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017