Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 04:28

Wafuasi wa Rais Trump wafanya uharibifu jengo la Bunge la Marekani

Wafuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump wavunja sheria za usalama na kuvamia ndani ya Bunge la Marekani wakati likiwa linajadili kuthibitishwa kwa kura za wajumbe za matokeo ya uchaguzi wa rais, January 6, 2021.

Waandamanaji hao waliharibu baadhi ya sehemu ya jengo hilo ikiwemo madirisha na Milango.

Makundi

XS
SM
MD
LG