Wasifu wa Makamu wa Rais Mike Pence
Makamu wa rais Mike Pence ameshinda changamoto kadhaa ambazo zimekumba utawala wa rais Donald Trump, akibaki kuwa mwaminifu kwa rais Trump hata wakati alikuwa anachunguzwa na bunge kwa lengo la kumfungulia mashtaka kumuondoa madarakani, na hatua kadhaa za kubadilisha baraza la mawaziri.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.