Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 02:23

Uchaguzi Mkuu 2020 : Zoezi la kupiga kura laendelea Tanzania

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli Wapiga Kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma.

Wakati Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika foleni ya kupiga kura katika kituo cha SOS Mombasa Zanzibar kwenye Uchaguzi Mkuu unaofanyika Jumatano Octoba 28,2020.



Makundi

XS
SM
MD
LG