George Floyd Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 46 aliyeuliwa na polisi mzungu anageuka na kua sura ya kimataifa kwa ajili ya vita dhidi ya ubaguzi wa rangi na utumiaji nguvu wa polisi. Maelfu ya watu walitoa heshima zao za mwisho kwa Floyd Jumatatu June 7, 2020 wakati hakimu akimfungulia rasmi mashtaka afisa wa polisi anaetuhum kwa mauwaji yake mjini Minneapolis
Matukio
-
Februari 11, 2021
Mchambuzi Tanzania aeleza sifa za nchi njema
-
Februari 11, 2021
Zanzibar lazima iendelee kujenga ushirikiano - Mchambuzi
-
Februari 10, 2021
Siku 100 za Rais Mwinyi, upinzani wamtaka aweke wazi sera
-
Februari 10, 2021
Mkazi wa Unguja asema Rais Hussein Mwinyi anastahili pongezi
Facebook Forum