Katika nchi nyingi, kutokana na amri ya kutotoka nje waumini wamesali Eid nyumbani ingawa kuna baadhi ya nchi za Asia na Afrika ambako masharti yameanza kulegezwa wamekwenda misikitini kusali.
Waislamu duniani washeherekea Eid al-Fitr bila shamrashamra
Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia washeherekea Eid al-Fitr kwa njia ya kipekee kuwahi kushuhudiwa kutokana na janga la virusi vya corona.
9
Imam Mohamed Kariuki akitoa khouthba ya Eid al-Fitr ndani ya msikiti mjini Nairobi, Kenya.
10
Wanawake wa Palestina wasali kwenye uwa wa msikiti wa Al-Aqsa, Mji wa Kale wa Jerusalem.
11
Sala ya Eid al-Fitr kwenye uwa wa msikiti wa al-Aqsa, Mji wa Kale wa Jerusalem
12
Sala ya id al-Fitr katika jimbo la Lghman, Afghanistan wakati wa janga la corona likmendelea.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017