Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 09:11

Baraza la Seneti : Matukio muhimu ya kesi inayoendelea dhidi ya Rais Donald Trump

Baraza la Seneti la Bunge la Marekani laanza kusikiliza hoja za awali juu ya kesi inayotaka kumuondoa Rais Donald Trump madarakani, Jumatano, Januari 22, 2020.

Kesi hiyo inatokana na mashtaka mawili yaliyofikishwa mbele ya seneti kuhusiana na kadhia ya Ukraine ambapo inadaiwa Rais Trump alitumia vibaya madaraka yake kwa kuzuia msaada wa kijeshi kwenda Ukraine.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG