Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 16:44

Ugonjwa wa ukoma nchini kenya


Ugonjwa wa ukoma nchini kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:57 0:00

‘UKOMA’ miongoni mwa magonjwa yaliosahaulika unasababishwa na bakteria. Unaambukiza kupitiwa hewa au maji maji ya puani na mdomoni.Shirika la afya duniani, WHO linaonesha kuwa zaidi ya watu laki 2 walipatikana wameambukizwa ugonjwa huo mwaka 2018, katika mataifa 159 yaliochunguzwa.

XS
SM
MD
LG