‘UKOMA’ miongoni mwa magonjwa yaliosahaulika unasababishwa na bakteria.
Unaambukiza kupitiwa hewa au maji maji ya puani na mdomoni.Shirika la afya duniani, WHO linaonesha kuwa zaidi ya watu laki 2 walipatikana wameambukizwa ugonjwa huo mwaka 2018, katika mataifa 159 yaliochunguzwa.