Duniani Leo November 6, 2019
Viongozi wa dunia wamepongeza makubaliano ya Amani yaliyofikiwa kati ya serikali ya Yemen na wapiganaji . Na Watafiti visiwani Zanzibar wanatumia ndege zisizoendeshwa na rubani kunyunyuzia dawa aina ya Aquatain AMF, inayoharibu mazao ya mbu katika jitihada za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Malaria
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum