Duniani Leo November 4, 2019
Shule kadhaa zimefungwa kutokana na mafuriko makubwa yaliyokumba Somalia na kusababisha maelfu ya watu kukoseshwa makazi. Na mawaziri wa afya wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC wanakutana jijini Dar es salaam kwa ajili ya mkutano wa sekta ya Afya na masuala ya UKIMWI.
Matukio
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
-
Januari 07, 2023
DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo
Facebook Forum