Duniani Leo November 4, 2019
Shule kadhaa zimefungwa kutokana na mafuriko makubwa yaliyokumba Somalia na kusababisha maelfu ya watu kukoseshwa makazi. Na mawaziri wa afya wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC wanakutana jijini Dar es salaam kwa ajili ya mkutano wa sekta ya Afya na masuala ya UKIMWI.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum